VYUO VYA MAENDELEO YA MAENDELEO KUJIKITA KATIKA TAFITI KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI NCHINI
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, Na WMJJWM Dodoma Vyuo vya Maendeleo ya Jamii vinavyosimamiwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum vimejipanga kuweka mikakati ya kufanya Tafiti mbalimbali katika jamii zitakazosaidia kuondokana na vitendo vya ukatili nchini. Hayo yamebainika wakati wa Kikao kazi cha Utekelezaji wa shughuli za Taaluma katika Taasisi na Vyuo vya Maendeleo
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed